NI June 13, 2023 ambapo Mabingwa wa misimu yote Young Africans tayari wameshawasili Dar es Salaam wakitokea Mkoani Tanga katika fainali za kombe la Azam Federation Cup 2022/2023 ambapo Yanga walibuka na ubingwa baada ya kuifunga Azam goli moja kwa bila (1-0) katika uwanja wa Mkwakwani
Sasa haya ni Mapokezi ya Wananchi waliojitokeza kuwapokea Mabingwa hao kwenye jiji hili la Chalamila huku zikiambatana vibes na shangwe la milele.









