Urusi kutengeneza silaha ya kupambana na satelaiti angani- White house
Urusi inatengeneza silaha mpya ya kupambana na satelaiti, Marekani imesema, lakini ilisisitiza…
Afrika Kusini kusaini mswada wa bima ya afya ya kitaifa kuwa sheria
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa anasema ni suala la muda tu…
Hospitali ya Benjamin Mkapa yafanya upasuaji wa kuweka mlango wa bandia kwenye moyo
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanya upasuaji wa kuweka mlango wa bandia…
Marekani kujenga vituo 5 vipya vya kijeshi kwa ajili ya jeshi la Somalia ambalo linakabiliwa na uasi
Marekani itajenga hadi vituo vitano vya kijeshi kwa ajili ya jeshi la…
Congo:Takriban watu 12 wameuawa na wengine 16 kutekwa nyara na waasi
Takriban watu 12 wameuawa na wengine 16 kutekwa nyara na waasi katika…
Mkosoaji wa Putin Alexei Navalny amefariki – jela ya Urusi
Ripoti za hivi punde kulingana na Sky News jeshi la magereza la…
Majaribio ya mtambo wa uzalishaji umeme bwawa la Nyerere umefanikiwa kuwashwa
Mtambo wa kwanza wa kuzalisha umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere umefanikiwa…
Rais ametoa jumla ya magari 13 kwa ajili ya kubebea wagonjwa mkoa wa Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa jumla…
Google inajiandaa kuzindua kampeni ya kupinga habari potofu mtandaoni katika nchi 5
Google inajiandaa kuzindua kampeni ya kupinga habari potofu katika nchi tano za…
Mkoa wa Ruvuma wadhamiria kupunguza tatiizo la udumavu
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema udumavu bado changamoto…