Chad yapitisha marekebisho ya katiba kwa asilimia 86 ya kura
Katiba mpya ya Chad iliidhinishwa na asilimia 86 ya wapiga kura katika…
Waathirika wa mafuriko katika nchini Kenya wapokea msaada
Jumla ya familia 200 za wakimbizi wa mafuriko zilifikiwa na kupokezwa misaada…
Takriban watu 20 wafariki katika maporomoko ya udongo mashariki mwa DRC
Vyombo vya habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), viliripoti Jumatatu,…
Idadi ya waliouawa Gaza inakaribia 20,700 huku kukiwa na uvamizi unaoendelea wa Israel
Idadi ya vifo vya Wapalestina kutokana na mashambulizi yanayoendelea ya Israel kwenye…
Japan yaweka vikwazo kwa wanachama watatu wakuu wa Hamas
Serikali ya Japan imesema itazuia mali na kuwawekea vikwazo wanachama watatu wakuu…
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amewasamehe wafungwa 588
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amewasamehe wafungwa 588 katika vituo mbalimbali vya…
Bagdhad yalaani mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya wanamgambo vinavyoungwa mkono na Iran
Serikali ya Baghdad imelaani shambulizi la Marekani dhidi ya vituo vya kijeshi…
Sam Allison kuwa mwamuzi wa kwanza mweusi kuchezesha Premier League kwa miaka 15
Sam Allison atakuwa mwamuzi wa kwanza mweusi kuchezesha Premier League kwa miaka…
Wengi wayakimbia makazi yao baada ya mashambulizi yaliyoua watu 100 katikati mwa Nigeria
Takriban watu 160 waliuawa katika mashambulizi ya makundi yenye silaha kati ya…
DRC :Maaskofu wa Kanisa Katoliki wapinga tamko la kubariki ndoa ya wapenzi wa jinsia moja
Baraza Kuu la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya…