Jezi 6 za messi za kombe la dunia kuuzwa zaidi ya bil 24.9
Nyota wa kwenye ulimwengu wa soka duniani Lionel Messi sio mgeni kwenye…
Israel-Gaza update:Makubaliano ya muda ya suluhu ya 5 na kurudishwa kwa mateka kadhaa
Ripoti ya shirika la habari la AFP, ikinukuu vyanzo viwili vinavyofahamu mazungumzo…
Vinicius Jr azindua kampeni ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Brazil
Fowadi wa Brazil Vinicius Jr amezidisha vita dhidi ya ubaguzi wa rangi…
Zaidi ya watu milioni 1.6 wamekimbia makazi yao huko Gaza
Mashambulizi ya mabomu na kuzingirwa kwa Gaza yameripotiwa kuua zaidi ya watu…
Marekani yatangaza kifurushi cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin amefanya ziara ya kushtukiza mjini…
Watu million 2.2 huko Gaza wanahitaji msaada wa haraka wa chakula: WFP
Shirika la chakula la Umoja wa Mataifa limehimiza kusitishwa kwa uhasama katika…
FIFA yakashifiwa kwa ukimya wake juu ya vita ya Israeli huko Gaza
Shirikisho la soka duniani limekashifiwa kwa kutochukua hatua juu ya kuendelea kwa…
Uchaguzi wa Madagascar: Rajoelina aongoza mapema
Rais wa sasa wa Madagascar Andrey Rajoelina anaongoza uchaguzi wa Alhamisi iliyopita,…
Familia za Israeli zinadai majibu kutoka kwa Netanyahu juu ya hali ya mateka
Hali ya utekaji nyara inaendelea kuwa chachu katika vita vinavyoendelea vya Israel…
Wizara ya madini kushiriki jukwaa la biashara Uingereza
Timu ya Wataalam wa Wizara ya Madini ikiongozwa na Katibu Mkuu Kheri…