Kenya na WHO wazindua mafunzo ya kukabiliana na kipindupindu katika kambi za wakimbizi
Wizara ya Afya ya Kenya na Shirika la Afya Duniani (WHO) wanashirikiana…
Uganda yatoa fursa ya msamaha kwa waasi wa ADF
Serikali ya Uganda Jumatano ilitangaza kuwasamehe waasi wa kundi la ADF endapo…
Serikali ya Kenya yaomba idhini ya Bunge kupeleka Polisi 1,000 nchini Haiti
Serikali ya Kenya imewasilisha rasmi kwenye bunge la nchi hiyo ombi la…
Donald Trump apigwa faini ya dola 10,000 kwa kukiuka kanuni za mahakama
Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, aliitwa kwenye kizimba cha utetezi…
FIFA imetangaza kufunga kesi ya jinai dhidi ya rais wake Gianni Infantino
FIFA imetangaza kufunga kesi ya jinai dhidi ya rais wake Gianni Infantino…
Mwanamke aliyemshutumu Jonathan Majors kwa unyanyasaji sasa anashikiliwa kwa mashtaka ya utovu wa nidhamu
Mwanamke ambaye alimshutumu mwigizaji Jonathan Majors kwa kumnyanyasa sasa amekamatwa kwa tuhuma…
Urusi yafanya mazoezi ya uzinduzi wa nyuklia
Ikulu ya Kremlin siku ya Jumatano (Okt 25) ilisema Urusi hivi karibuni…
Israel yarekebisha idadi ya mateka mpaka hivi sasa
Update ya hivi punde inadai kuwa kuna mateka 224 wanaozuiliwa huko Gaza,…
Biden: ‘Njia ya amani ya kudumu’ inahitajika
Rais wa Marekani Joe Biden na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu…
Kongo:Unyanyasaji wa kingono unafanywa na wanaume wenye silaha dhidi ya wanawake
Mamia kwa maelfu ya wanawake na wasichana wameyakimbia makazi yao katika kipindi…