Mbunge wa Jimbo la Mpendae, Zanzibar, Mhe. Toufiq Salim Turky amezindua zoezi la ugawaji wa Iftari kwa nyumba zote zilizopo Jimbo la Mpendae( Zanzibar ) tarehe: 17 Machi 2024.
Mhe.Toufiq Turky ameendelea kufanya zoezi hilo kila Mwaka katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa wananchi wa Jimbo la Mpendae.




