Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linawashikilia watu Saba kwa kosa la kujichukulia Sheria mkononi na kumuua mtuhumiwa wa wizi aliyekuwa amehifadhiwa kwenye Ofisi ya Mwenyekiti wa Kijiji cha Bulyahiru katika Wilaya ya Sengerema.
Watu saba waliomuua mwizi wakamatwa, wawili wapigwa risasi (+video)
Leave a comment
Leave a comment