Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo August 29, 2019 anapokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi walioteuliwa kuziwakilsha nchi zao hapa Nchini. Tazama LIVE kwa kubonyeza PLAY hapa chini
LIVE IKULU: Rais Magufuli anapokea hati za utambulisho wa Mabalozi
Leave a comment
Leave a comment