Leo July 11, 2019 Kamanda wa Kanda Maalum ya DSM Lazaro Mambosasa amezungumzia taarifa za Jengo la Quality Center kuvamiwa na Majambazi, ‘Ni kweli nina taarifa nilikuwa naenda nimerudishwa njiani, sijui nani anataka kutest zari, alikuwa ni Mhalifu alipoona Askari akakimbilia Benki huku akiita Polisi wezi”
Ukweli jengo la Quality Center kuvamiwa “kuna mtu anatest zari” (+video)
Leave a comment
Leave a comment