Hii inatokea Bungeni Dodoma ambapo Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Ashatu Kijaji aliposimama kujibu baadhi ya hoja za Wabunge waliokuwa wakichangia katika mpango wa bajeti mwaka 2019/20 na miongoni mwa mambo aliyoyaongelea ni pamoja na namna alivyokerwa kwa baadhi ya wabunge walitumia nafasi hiyo kuipotosha jamii kwa kutoa takwimu za uongo huku wakijua ni kosa kisheria.
Naibu Waziri Ashatu amgeuzia kibao Halima Mdee “muhuni huyu”
Leave a comment
Leave a comment