Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jery Muro ameagiza kukamatwa kwa watu wanne akiwemo mwanafunzi wa kidato cha nne, wazazi pamoja na kijana Yona Philemon aliyehusika kumpa ujauzito mwanafunzi wa miaka 17 na baadae kutoa mimba hiyo kwa kutumia dawa za kienyeji.
DC Murro akamata Wazazi kisa Mtoto wao kutoa mimba kabla ya mitihani
Leave a comment
Leave a comment