Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa DKt. John Pombe Magufuli amefanya Mabadiliko na Kuteua Viongozi wengine katika baadhi ya Nafasi mbalimbali katika Serikali. Uteuzi unatangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. John Kijazi.
LIVE: Uteuzi mpya aliofanya Rais Magufuli, amtumbua RC, ateua Ma-DC
Leave a comment
Leave a comment