Ebhana eeh! Zuch Zuchero kama kawaida yake hakaukiwi maswali kaingia tena mtaani akiwa na M-Koba akiwa na swali lake matata akiuliza; Kipi kitu cha aibu ukikutwa unajaribisha kiatu cha Mgeni au kukutwa na mwenyeji wako unoangeza Maji kwenye sufuria ya Ugali ?.
AIBU!!! Kafumwa anajaribisha Kiatu cha Mgeni/Kaongeza Maji kwenye Ugali (+video)
Leave a comment
Leave a comment