Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mlezi wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) Zanzibar Mama Mariam Mwinyi January 5, 2022 amezindua Matembezi Maalum ya Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) Taifa yaliyoshirikisha Vijana kutoka Tanzania Bara na Zanzibar zaidi ya mia tano (500) watakaozunguka kwa Siku 5 katika Wilaya za Unguja yaliyofanyika Viwanja vya Mnara wa Kisonge.
Rais Mwinyi azindua matembezi maalum ya UVCCM katika kuelekea kilele cha miaka 59 ya mapinduzi ya Zanzibar
Leave a comment
Leave a comment