Rais wa Tanzania, John Magufuli amewahakikishia watuhumiwa wa uhujumu uchumi wenye nia ya kuandikia barua kuomba kutubu na kurejesha fedha na mali wasiwe na wasiwasi kwamba wakishakiri ndio utakuwa ushahidi. Asema ni msamaha wa kweli.
RAIS MAGUFULI ASHTUKA DPP KUMTAJIA IDADI YA MAFISADI WALIOMBA MSAMAHA
LIVE: RAIS MAGUFULI ANAPOKEA TAARIFA YA WAHUJUMU UCHUMI WALIOTUBU
https://youtu.be/w_qz33xg_rM