Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Kagera John Joseph amesema kuwa Kuaimu Meneja Mkuu wa Ranchi za Taifa (NARCO) Prof.Philemon Nyangi anashikiliwa huku akisema kuwa atafikishwa Mahakamani kwa tuhuma ya kuomba na kupokea Rushwa.
Milioni 12 zamponza Profesa adakwa na TAKUKURU kwa rushwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment