Wabunge Wateule wa Viti Maalumu kutoka CHADEMA wanaapishwa muda huu na Spika Ndugai katika Viwanja vya Bunge, Jijini Dodoma, wakiongozwa na Halima Mdee, Ester Bulaya , Salome Makamba na Salome Tendega.
LIVE: Wabunge Viti maalum CHADEMA wakiongoza na Halima Mdee wanaapishwa
Leave a comment
Leave a comment