Mkurugenzi wa kampuni ya Utalii ya Shidolya mkoani Arusha, Lazarus Mafie maarufu kwa jina la Shidolya Mkazi wa Kimandolu, wilayani Arumeru, amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kutenda kosa la mauaji ya kukusudia kwa mfanyakazi wake.
Boss wa kampuni ya utalii afikishwa mahakamani akidaiwa kumuua mlinzi wake
Leave a comment
Leave a comment