Top Stories Rais Samia awasili DSM akitokea Zanzibar (+picha) April 8, 2021 Share 1 Min Read SHARE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Aboubakar Kunenge mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akitokea Zanzibar leo tarehe 08 Aprili 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Lazaro Mambosasa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akitokea Zanzibar. Pascal Mwakyoma TZA April 8, 2021 Share this Article Facebook TwitterEmail Print Share Previous Article Wafanyakazi wa kigeni 1,538 hawana vibali vya kazi Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo April 9, 2021 Leave a comment Leave a comment Leave a Reply Cancel replyYou must be logged in to post a comment. - Advertisement - Latest News Serikali wilayani Rufiji imeanza kugawa viwanja vya makazi 600 vilivyopimwa bure Top Stories May 5, 2024 RC ATANGAZA KUGAWA MIKATE NA SIAGI KWA WATUMISHI WAKE Top Stories May 5, 2024 Halmashauri ya mji wa Njombe yafikia 91% kutoa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi Top Stories May 5, 2024 Director Khalfan Elmando amezikwa makaburi ya kisutu Top Stories May 5, 2024