AyoTV imemtafuta mchambuzi wa soka Tanzania Oscar Oscar na kutaka kusikia mtazamo na mawazo yake baada ya GSM kuvunja mkataba wa udhamini mwenza katika Ligi Kuu kwa sababu mbalimbali ikiwemo kushindwa kutimiza matakwa ya kimkataba.
TAGGED:
GSM, Oscar Oscar, tff
TZA