Marais wa Africa wanaoongoza kuwa na umri mkubwa wako hawa kumi na picha zao..
Share
2 Min Read
SHARE
Kuna stori za baadhi ya Viongozi wa Africa kung’ang’ania kukaa madarakani hata baada ya vipindi vyao vya uongozi kuisha, pia wako ambao wanaendelea kuongoza kihalali kutokana na mabadiliko ambayo wameyafanya kwenye Katiba ili waendelee kuongoza !!
Siku chache zilizopita nilikusogezea stori kuhusu Rais mwenye umri mdogo kuliko wote Duniani, leo nakupa hii toka ndani ya Africa… unajua Marais wanaoongoza kwa kuwa na umri mkubwa? List niko nayo hapa mtu wangu, kila mmoja na picha yake kabisa !!
1. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ana miaka 91, ndiye Rais mzee kuliko wote, ameshinda urais kwa muhula wa saba
2. Beji Caid Essebsi-Ana miaka 88, amekua Rais wa Tunisia tangu Desemba 31 20143. Rais Paul Biya wa Cameroon ana miaka 82, ameingia madarakani tangu mwaka 19824. AbdelAziz Boeteflika ni Rais wa Algeria toka April 1999, ana miaka 785. Rais wa Guinea Alpha Conde ana miaka 77, amekua madarakani tangu December 20106. Rais wa visiwa vya Sao Tome, Manuel Pinto da Costa ana miaka 77, aliingia madarakani tangu mwaka 2011
7. Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ana miaka 76, aliingia madarakani tangu Januari 20068. Rais wa Malawi, Peter Mutharika ana miaka 74, aliingia madarakani May 20149. Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara ana miaka 73, aliingia madarakani tangu mwaka 201110. Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ana miaka 73, aliingia madarakani tangu May 9, 2009
PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia kuanzia kwenye siasa muziki, michezo, maisha, Breaking news na nyingine kwa kujiunga hapa na mimi >>> TwitterInstaFB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos