Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Aga Khan wawapa mafunzo Walimu na Wanafunzi utunzaji mazingira
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Aga Khan wawapa mafunzo Walimu na Wanafunzi utunzaji mazingira
Top Stories

Aga Khan wawapa mafunzo Walimu na Wanafunzi utunzaji mazingira

February 22, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Taasisi ya Elimu ya Aga Khan (AKES) Tanzania ikishirikiana na Taasisi ya Aga Khan Tanzania (AKF) imetoa mafunzo kwa walimu na wanafunzi juu ya namna bora ya kuhifadhi mazingira kwa maendeleo endelevu.

Katika mafunzo hayo kwa vitendo, yaliyoshirikisha walimu na baadhi ya wanafunzi kutoka shule za awali, msingi na sekondari za Aga Khan zilizoko jijini Dar es Salaam, yaliwapa ujuzi wa kujenga “viwanda vya udongo” 60 katika eneo la Aga Khan Upanga, kwa kutumia malighafi rejereshi kama karatasi, boksi, mbolea na ndoo kubwa.

Katika mafunzo hayo, viwanda hivyo vidogo vidogo kwa ajili ya kutengeneza udongo wenye rutuba, pia vilijengwa na wanafunzi na walimu wa Shule ya Sekondari ya Zanaki, ambayo ni jirani na Shule za Aga Khan.

Ujuzi huu wa kutengeneza udongo wenye madini muhimu ambayo ni sehemu muhimu ya ukuaji wa mimea, utasaidia kutunza na kuleta suluhisho la asili kwa ajili ya kilimo cha chakula kinachozingatia utunzaji wa mazingira kwa maendeleo endelevu.

Hii ni mara ya pili kwa taasisi ya Aga Khan kushirikisha wanafunzi na walimu wa Shule za taasisi hiyo katika kutunza na kuleta suluhu ya kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi, ambapo walifanya kazi na Ismaili CIVIC kupanda zaidi ya miti zaidi ya 100 katika eneo dogo ili kukuza bioanuwai zinazotegemewa na атії.

You Might Also Like

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA February 22, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwenyekiti CCM auwawa na wasiojulikana, DC Mlele awa mkali, “Watafutwe haraka wahusika”
Next Article Picha: Ajali ya Mwendokasi DSM Feb 22, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?