Watu wanne wamefariki dunia na wengine zaidi ya 30 wakijeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo na kuhusisha magari mawili ya abiria katika kijiji cha Sindeni kilichopo wilayani Handeni mkoani Tanga.
Ajali yaua Tanga, na walioenda shuhudia nao wagongwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment