Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limemfukuza kazi Askari wake namba F8683 PC Paulo Erasto kwa kuwasaidia watuhumiwa wawili kumshawishi Askari mwenzake namba E 6767 Sajent Meshack kupokea rushwa ya Milion kumi ili kuharibu kesi iliyokuwa inawakabili watuhumiwa hao.
Askari aliekataa rushwa ya Milioni 10 apewa zawadi Milioni moja, mwingine afukuzwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment