Kwenye hii video inaonyesha askari magereza akiwaonya baadhi ya wananchi waliopanga kuzomea na kushangilia kwenye kesi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake inayosikilizwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Askari alivyowaonya wananchi waliopanga kuzomea na kushangilia kesi ya Sabaya (+video)
Leave a comment
Leave a comment