Moto uliokuwa ukiwaka kwenye hifadhi ya mafuta ya Lake Oil, Kigamboni DSM umedhibitiwa, Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Sarah Msafiri amesema kulikuwa na valvu ambayo ilikuwa inavuja mafuta na tayari imefungwa.
“Askari mmoja kwa uzalendo aliamua ajitoe maisha yake aweze kuokoa Watu wa Kigamboni na Watanzania lakini pia kuokoa uchumi, moto na moshi ulikuwa mkubwa lakini aliingia chini akafunga valvu, alizimia lakini anaendelea vizuri” – DC Msafiri
BODABODA ALIESHUHUDIA MOTO UKIANZA KUWAKA “BAADA YA KUANZA KUZIMA KWA MAJI MOTO UKAZIDI”
CHANZO CHA UADUI MKUBWA IRAN NA MAREKANI, VITA ILIYOUA WATU MAMILIONI, NDEGE KUDUNGULIWA
https://youtu.be/JrOp2S4Z6ds