Mvua inayoendelea kunyesha DSM imesababisha changamoto mbalimbali ikiwemo ya kuchelewa kwa usafiri kutokana na miundombinu ya Barabara kuharibika na hata kusababisha foleni, hii ni foleni katika Barabara ya Kawawa.
ATHARI ZA MAFURIKO: Kilichotokea Jangwani leo (+video)
Leave a comment
Leave a comment