Kutoka Ubungo, tayari Rais Magufuli amelizindua Daraja la Juu la Ubungo ambalo limepewa jina la aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Balozi John Kijazi na sasa litaitwa Daraja la Juu la Kijazi (Kijazi Interchange).
Barabara ya juu Ubungo sasa itaitwa Kijazi Interchange (+picha)
Leave a comment
Leave a comment