Tanzania yang’ara kwenye mashindano ya mchezo wa Ndege Kipanga huko Dubai
Tanzania imeibuka kati ya washindi kwenye Shindano la Shirikisho la Kimataifa Mchezo wa Ndege Kipanga (International Federation for Falconry Sports and Racing Cup UAE) lililofanyika Dubai, Falme za Kiarabu (UAE).…
Ucheleweshaji wa ndege unaendelea kuongezeka Marekani
Takribani Safari za Ndege 4,500 zimcheleweshwa na nyingine 2,000 kuhairishwa huko Nchini Marekani kufuatia dhoruba kali ya majira ya baridi. Baadhi ya picha kutoka katika Uwanja wa ndege wa kimataifa…
Mwanamke wa Ubelgiji avunja rekodi ya mbio 366 za marathoni
Hilde Dosogne mwenye umri wa miaka 55 wa Ubelgiji hivi majuzi aliweka rekodi mpya ya dunia baada ya kushiriki mbio nyingi na mfululizo hii ni baada ya kukimbia marathoni kamili…
Wateja waandamana kupinga uamuzi wa mgahawa wao pendwa kuanza kuuza nyama
Mgahawa maarufu wa Sage Regenerative Kitchen & Brewery huko California Nchini Marekani unaouza vyakula vya mboga mboga umetangaza kufungwa baada ya Wateja wake waaminifu ambao ni waumini wa vyakula vya…
Mwenye nyumba ang’oa madirisha na milango ili wapangaji waondoke
Mwenye nyumba kaskazini mwa Ufaransa amewaacha wanamitandao kwenye mshangao baada ya kujaribu kuwalazimisha wapangaji wake kuondoka katikati ya msimu wa baridi kwa kuondoa milango na madirisha kwenye nyumba yake aliowapangishia…
Waziri mkuu wa Canada atarajiwa kujiuzulu leo – vyombo vya habari
Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau anatarajiwa kutangaza mapema Jumatatu kwamba atajiuzulu kama Kiongozi wa Chama cha Liberal, The Globe and Mail iliripoti, akinukuu vyanzo vitatu. Vyanzo hivyo viliiambia Globe…
Taasisi ya kupambana na rushwa Korea Kusini yashinikiza agizo la kukamatwa kwa rais
Shirika la kupambana na ufisadi nchini Korea Kusini limewataka polisi kuchukua jukumu la kutekeleza agizo la kukamatwa kwa Rais aliyeondolewa madarakani Yoon Suk-yeol baada ya wapelelezi wake kushindwa kumweka rumande…
Iran yapunguza umri wa kufanya upasuaji wa urembo hadi miaka 14
Iran imepunguza umri wa chini wa kufanyiwa upasuaji wa urembo hadi miaka 14 kwa wasichana na 16 kwa wavulana, kulingana na tangazo rasmi. "Kwa mtazamo wa kisayansi, enzi hizi sasa…
Uhaba mkubwa wa dawa na vifaa vya matibabu watangazwa Gaza
Wizara ya Afya ya Palestina huko Gaza imeonya juu ya uhaba mkubwa wa dawa na vifaa vya matibabu wakati wa vita vya mauaji ya halaiki ya Israeli dhidi ya eneo…
Korea Kaskazini yarusha kombora la balestiki wakati Blinken akiwasili Kusini
Korea Kaskazini siku ya Jumatatu imerusha kombora mara tu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken alipotembelea Korea Kusini, ambako alitafuta mwelekeo thabiti kuhusu sera za kigeni huku…