Umoja wa Mataifa watoa wito wa utulivu huku ghasia zikipamba moto nchini Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umetoa wito wa utulivu huku ukiripoti mapigano makali nchini Sudan Kusini yamesababisha vifo vya raia na kumjeruhi askari wa kulinda amani. Mapigano yalizuka kati ya Jeshi la…
Christian Eriksen kuondoka Manchester United msimu huu wa joto
Christian Eriksen anatarajiwa kuondoka Manchester United mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa mdau wa ndani Fabrizio Romano. Kiungo huyo wa kati wa Denmark, ambaye alijiunga na klabu hiyo msimu…
Waziri Mkuu ateta na Mtoto wa Lowassa akiahidi ushirikiano na Sekta Binafsi (+picha)
Leo 18 Februari,2025 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mtoto Hayati Edward Lowassa, Robert Lowassa ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tan Communications Media Ltd mara baada ua kukutana katika Mkutano…
Mawalaka wa vyama vya siasa watakuwa kutoingilia majukumu ya watendaji wa tume ya uchaguzi
Tume huru ya Taifa ya uchaguzi imewataka mawakala wa vyama vya siasa kutoingilia majukumu ya watendaji wa daftari la Kudumu la wapigakura wakati wa utekelezaji wa zoezi la uboreshaji wa…
Putin yupo tayari kuzungumza juu ya amani :Kremlin
Suluhu ya kudumu nchini Ukraine "haiwezekani" bila kushughulikia suala pana la usalama wa Ulaya, Kremlin ilisema Jumanne, wakati Marekani na Urusi zikifanya mazungumzo ya kwanza ya ngazi ya juu tangu…
Wizara ya Ardhi Mkoa wa Tanga Yadai Wamiliki wa Maeneo Makubwa Shilingi Bilioni 2.5
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mkoa wa Tanga inawadai wamiliki wa maeneo makubwa kiasi cha Shilingi bilioni 3.4 ikiwa ni malimbikizo ya muda mrefu ya madeni yanayotokana…
DC Tanga awataka wananchi kujiepusha na vitendo vinavyochochea uharibifu wa mazingira
Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Japhari Kubecha, amewataka wakazi wa Amboni kujiepusha na vitendo vinavyochochea uharibifu wa mazingira, akisisitiza umuhimu wa kutunza hifadhi ya Amboni ili iendelee kuwa kivutio chenye…
KCB bank mwanahisha mpya wa Tanzania Mortgage Refinance Company Limited
Tanzania Mortgage Refinance Company Limited (TMRC) leo imeikaribisha Benki ya KCB Tanzania Limited kama mwanahisa wake mpya. Benki ya KCB Tanzania Limited imejiunga na TMRC kama mbia wa 20 kufuatia…
Zidane akubali kuwa meneja wa Timu ya Taifa ya Ufaransa
Zinedine Zidane ameripotiwa kufikia makubaliano ya kuwa kocha mkuu ajaye wa timu ya taifa ya Ufaransa, huku vikwazo vyote vya mwisho sasa vikiwa vimeondolewa. Kulingana na El Mundo Deportivo, kiungo…
Ruben Amorim apewa taarifa na wakuu wa Man United kuhusu ufinyu wa bajeti
Kocha wa Manchester United Ruben Amorim anakabiliwa na bajeti ndogo ya uhamisho wa majira ya joto hii ni baada ya kufahamishwa na wakuu wa United kwamba atakuwa na £20m pekee…