Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo November 30, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam November 30, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Boss TIC aongelea K-vant special edition inaongeza kasi ya uchumi
Mega Beverages Limited (MBL), Kampuni inayotambulika katika sekta ya vinywaji Tanzania, imeadhimisha miongo miwili ya mafanikio kwa kuzindua toleo maalum la K-Vant Premium Spirit. Bidhaa hii ya toleo maalum, itapatikana…
Waziri Masauni asisitiza nyumba za ibada kutumika kuhamasisha amani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesisitiza watanzania kuendelea kudumisha amani sambamba na kutumia nyumba za ibada kuhamasisha na kutoa mafundisho ya dini yatakayo dumisha amani.…
Iran huenda ikaelekea kwenye umiliki wa silaha zake za nyuklia
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alisema jana kwamba Tehran huenda ikaelekea kwenye umiliki wa silaha zake za nyuklia ikiwa nchi za Magharibi zitaendelea na tishio la…
Visa 221 vipya vya kipindupindu vyagundulika nchini Sudan
Baadhi ya visa vipya 221 vya kipindupindu vimerekodiwa nchini Sudan, Wizara ya Afya iliripoti jana, na kufanya jumla ya maambukizi kufikia zaidi ya 43,490, ikiwa ni pamoja na vifo 1,187,…
Wajasiriamali Afrika wapigwa msasa Arusha,Watakiwa kuingia kwenye utalii
Wajasiriamali Wadogo na wa Kati Afrika wamehimizwa kuwekeza Nchini Tanzania hususani sekta ya Utalii kwani ndio sekta yenye uhakika wa kipato. Mbali ya kuwahimiza kuwekeza Nchini pia Wajasiliamali hao Wanawake…
BUWASA yakabidhi site kwa mkandarasi rasmi kuanza kazi
Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) imekabidhi site kwa mkandarasi ikiwa ni kiashiria cha kuanza rasmi kazi ya uboreshaji wa miundombinu ya maji katika manispaa ya Bukoba.…
Wamiliki wa jengo la ghorofa lililoporomoka Kariakoo kizimbani
Wamiliki wa jengo la ghorofa Kariakoo ambalo liliporomoka na kusababisha vifo vya Watu 29, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo November 29,2024 wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua…
Hojlund ausifia mfumo mpya wa Amorim ndani ya Man U
Rasmus Hojlund aliusifia mtindo wa uchezaji wa Manchester United chini ya meneja aliyeteuliwa hivi karibuni Ruben Amorim nakusema kuwa ulimfaa vyema baada ya mshambuliaji huyo wa Denmark kufunga mara mbili…
FiFA yataja walioteuliwa ‘The Best’ Football Awards 2024
FIFA imetangaza walioteuliwa kuwania Tuzo za ‘The Best’ Football Awards 2024, kuadhimisha wachezaji bora wa mwaka katika soka la wanawake na wanaume katika ngazi za vilabu na kitaifa. Mshindi wa…