Diddy anyimwa dhamana kwa mara ya tatu
Hatimaye Sean “Diddy” Combs ameikosa dhamana kwa mara ya tatu kutoka kwa hakimu katika jiji la New York. Majaji wawili hapo awali walikataa kuachiliwa kwa Bw.Combs kutoka kizuizini, haswa kwa…
Baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano Iran yatangaza ushindi dhidi ya Israel
Kundi la Hezbollah limedai "ushindi" dhidi ya Israel baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano, likisema wapiganaji wake wako tayari kukabiliana na vitisho vya Israel siku zijazo Kundi la…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo November 28, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 28, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo November 28, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam November 28, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Wadau wapongeza BOT kwa kudhibiti wanaokiuka taratibu za kifedha
Benki ya biashara ya Mkombozi leo Novemba 25,2024 imezindua huduma yake mpya ya wakala wa kimkakati Ili kuwa karibu zaidi ya na wateja wake. Akizungumza kabla ya uzinduzi huo, Padre…
Nimepiga kura nimetimiza haki yangu ya kikatiba :Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga leo ameshiriki zoezi la kupiga kura katika Kitongoji cha Mheza kijiji cha Mkumbi Halmashauri ya Mbinga Vijijini ili kuchagua viongozi wa eneo husika.…
Wananchi wa Mwanza jitokezeni kushiriki katika kutimiza haki ya kidemokrasia na kikatiba ya kupiga kura :RC Said Mtanda
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amewataka wananchi wa Mwanza kujitokeza kushiriki katika kutimiza haki ya kidemokrasia na kikatiba ya kupiga kura licha ya kuwepo na hali ya mvua…
Mbunge Nape ametumia usafiri wa pikipiki kwenda kupiga kura
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye akiwa jimboni kwake ametumia usafiri wa pikipiki kwenda kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na mambo mengine amewataka wagombea wote wakubali…
Waziri Mkuu apiga kura kijijini kwake Nandagala
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 27, 2024 ameshiriki katika zoezi la upigaji kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, kwenye kituo cha Shule ya Msingi Nandagala,…
Dkt. Faustine Ndugulile amefariki,viongozi watoa pole zao
Salamu za rambi rambi zimeanza kumiminika kwa ndugu, jamaa na marafiki wa Dkt. Faustin Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni aliyefariki usiku wa kuamkia Alhamisi Novemba 27. Faustin Ndugulile, ndiye Mkuruguenzi Mteule…