DC Same awataka wasimamizi wa miradi kutoa ushirikiano kwa maafisa wa serikali.
MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni, amewataka wasimamizi wa miradi inayoendelea kujengwa ndani ya wilaya hiyo kushirikiana na maafisa wa serikali wanapofanya ziara za ukaguzi. Amesisitiza kuwa…
Serikali yapanga kupanua Barabara za kuingia na kutoka katikati ya jiji la Dodoma
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), imepanga kupanua Barabara za kuingia na kutoka katikati ya jiji la Dodoma zenye jumla ya urefu wa kilometa 220 kwa kuzijenga kwa njia…
Ujenzi wa mradi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere (JNHPP) umekamilika kwa asilimia 98.8
SERIKALI imesema ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) umekamilika kwa asilimia 98.8 na unazalisha zaidi ya Megawatt 1,880. Kutokana na utekelezaji wa mradi huo,…
Serikali kushirikiana na wananchi kutekeleza mradi wa makaa ya mawe
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na Mwekezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe Ketawaka Kampuni ya…
Ukraine inajitayarisha kwa Uchaguzi: Mtangulizi wa Zelenskyy
Rais wa zamani wa Ukraine Petro Poroshenko amedai kuwa mamlaka ya Ukraine inapanga kuandaa uchaguzi wa rais kufikia mwisho wa mwaka huu. "Iandike -- Oktoba 26 mwaka huu," Poroshenko alisema…
Mikopo kausha damu ina rudisha nyuma maendeleo ya wananchi
Naibu waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji Stanslaus Nyongo akimwakilisha Waziri wa Fedha katika kuzindua Ofisi ya Hazina ndogo yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 4 wilayani…
Ghasia zinawaacha mamia ya maelfu ya watoto shuleni mashariki mwa Kongo: UN
Kuongezeka kwa ghasia na watu kuyahama makazi yao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kumesababisha mamia kwa maelfu ya watoto kukosa shule, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia…
WFP inalaani uporaji huko Bukavu baada ya waasi wa M23 kuuteka mji muhimu
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) siku ya Jumatatu limelaani uporaji wa maghala yake mwishoni mwa wiki hii iliyopita huko Bukavu, mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kusini, huku…
Maafisa wa Marekani na Urusi kukutana Saudi Arabia, mazungumzo ya kumaliza vita
Maafisa wakuu wa Marekani na Urusi wanatazamiwa kukutana nchini Saudi Arabia kwa kile kinachotarajiwa kuwa mazungumzo muhimu zaidi kufikia sasa juu ya kumaliza vita nchini Ukraine. Tutakuwa na maelezo zaidi…
Bashungwa aagiza polisi kukomesha matapeli wa mtandaoni
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamishna wa Uchunguzi wa Sayansi ya Jinai kushirikiana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi…