Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi yaanza kuwabana wamiliki wote wa ardhi wasiolipa kodi ya pango
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza kuwabana wamiliki wote wa ardhi wasiolipa kodi ya pango la ardhi sambamba na kutoendeleza maeneo wanayomiliki. Wakiwa katika ziara ya kukagua…
Wizara ya Ardhi Mkoa wa Tanga Yadai Wamiliki wa Maeneo Makubwa Shilingi Bilioni 2.5
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mkoa wa Tanga inawadai wamiliki wa maeneo makubwa kiasi cha Shilingi bilioni 3.4 ikiwa ni malimbikizo ya muda mrefu ya madeni yanayotokana…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 14, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania February 14, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 14, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam February 14, 2025, nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Christina Shusho aitambulisha brand yake mpya ya mavazi “Mama Mkwe Collection”
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Christina Shusho ameitambulisha brand yake mpya ya mavazi iliyopewa jina la Mama Mkwe Collection ambayo imezinduliwa Usiku wa Leo na Rais Mstaafu wa awamu ya…
Hatua muhimu ya Kihistoria yatangazwa, huduma mpaka Dubai
Benki ya CRDB yatangaza mpango wa kupanua huduma zake hadi Dubai. Hatua hii inaiweka Benki hiyo kwenye ramani kama taasisi ya kwanza ya kifedha kutoka Afrika Mashariki kupanuka nje ya…
Wafungwa waliomaliza vifungo vyao watuhumiwa kwa wizi wa mifugo Geita
WAFUNGWA WALIOMALIZA VIFUNGO VYAO WATUHUMIWA KWA WIZI WA MIFUGO GEITA. Jeshi la Polisi Mkoani Geita limesema litaendelea kukabiliana na changamoto ya wimbi la wizi wa mifugo katika maeneo mbalimbali…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 13, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania February 13, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 13, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam February 13, 2025, nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Wasiolipa Kodi na kuendeleza maeneo waanza kubanwa
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza kuwabana wamiliki wote wa ardhi wasiolipa kodi ya pango la ardhi sambamba na kutoendeleza maeneo wanayomiliki. Wakiwa katika ziara ya kukagua…