NIC watekeleza agizo la Rais Samia watoa elimu ya bima kwa jamii
Shirika la Bima la Taifa (NIC) limeendelea kutoa elimu Kwa jamii kuhusu umuhimu wa kutumia bima kupitia kampeni ya NIC KITAA Ili kumlinda mwananchi dhidi ya majanga mbalimbali yanayotokea Kaimu…
Rais Mwinyi awaapisha kadhi na katibu mtendaji wa tume ya utangazaji
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Mhe.Iddi Said Khamis kuwa Kadhi wa Mahkama ya Kadhi ya Rufaa. Pia Ndugu Hiji Dadi Shajak kuwa…
Vyama vya Siasa waeleza mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za uchaguzi Tanga
Katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika tarehe 27/11/2024 Viongozi wa vyama vya siasa Mkoa na Wilaya ya Tanga wamefanya mkutano na waandishi wa habari lengo likiwa ni…
RC aahidi Mil.200 kwa Tabora United
Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh Paul Chacha ,amekabidhi million 20 kama ahadi yake kwa Tabora united baada ya ushindi wa bao 3-1 dhidi ya bingwa mtetezi wa ligi kuu…
Upasuaji mkubwa wa kuondoa uvimbe katika ubongo kwa mara ya kwanza wafanyika Hospitali ya rufaa ya kanda Chato
Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu kutoka taasisi ya tiba ya magonjwa ya mifupa na ubongo muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na madaktari na…
Mikopo nyonyaji inayowatesa wananchi Kibaha,watoa ya moyoni kukimbia familia usiku
Wananchi wa halmashauri ya wilaya ya Kibaha wa.eishukuru serikali kurudisha mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na serikali bila kuwa na riba kwani waliteseka kwa zaidi ya miezi 19 hali iliyowapelekea…
Iran inasema iko tayari kufanya mazungumzo ya nyuklia, lakini sio chini ya shinikizo na vitisho
Iran inasema iko tayari kufanya mazungumzo ya nyuklia, lakini haitajadili "chini ya shinikizo na vitisho" wakati mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki Rafael Grossi alipokutana na mwanadiplomasia…
Marekani, Japan, Korea Kusini wazindua mazoezi makubwa ya kijeshi
Korea Kusini, Marekani na Japan siku ya Jumatano zilizindua zoezi lao la pili la nchi tatu katika maji ya kimataifa ya nchi hiyo ya Asia Mashariki, vyombo vya habari vya…
Israel yakiri kuwaua wapiganaji 200 wa Hezbollah nchini Lebanon wiki iliyopita
Jeshi la Israel pia linadai kuharibu zaidi ya kurusha roketi 140 za Hezbollah kusini mwa Lebanon katika wiki iliyopita. Ilisema katika taarifa yake kwenye Telegram kwamba mashambulizi ya hivi punde…
Polisi wa Japan wamkamata mwanamume wa Marekani kwa madai yakuharibu eneo la hekalu
Polisi wa Japan wamemkamata mtalii wa Kimarekani mwenye umri wa miaka 65 kwa madai ya kuharibu hekalu la ibada huko Tokyo. Mwanamume huyo, aliyetambulika kama Steve Hayes, anadaiwa kutumia kucha…