50 Cent aeleza kwanini alikataa dola milioni 3 kutumbuiza kwenye kampeni za Trump
Wakati ambapo wingi wa watu mashuhuri wakimuunga mkono Kamala Harris, rapper 50 Cent alisema alikataa ofa ya dola milioni 3 kutoka kwa waandaaji wa kampeni ya Donald Trump kutumbuiza kwenye…
Aliye mshambulia mume wa aliyekuwa spika wa bunge la Marekani afungwa maisha jela
Mwanaume aliyefahamika kwa David DePape ambaye alimshambulia kwa nyundo Paul Pelosi, mume wa aliyekuwa spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi alihukumiwa kifungo cha maisha jela bila msamaha katika mahakama…
Majibu tata ya Rais Putin kuhusu kumuunga mkono Kamala Harris au Trump
Ni swali ambalo aliulizwa rais Vladimir Putin mwezi Septemba kuhusu uchaguzi wa Marekani ambalo kwa upande liliibua tabasamu la hasira na nyusi ya rais wa Urusi. Putin aliulizwa kama anampendelea…
Mashambulizi ya Israel kaskazini mwa Gaza yameua takriban watu 88, maafisa wanasema
Mashambulizi mawili ya anga ya Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza siku ya Jumanne yaliua takriban watu 88, wakiwemo makumi ya wanawake na watoto, maafisa wa afya walisema, na mkurugenzi…
Putin anafanya mazoezi ya vikosi vya nyuklia vya Urusi kujiandaa na mashambulizi ya kulipiza kisasi
Rais wa Urusi Vladimir Putin Jumanne alizindua mazoezi makubwa ya vikosi vya nyuklia vya nchi hiyo vilivyo na kurusha makombora kwa kuiga shambulio la kulipiza kisasi, huku akiendelea kuimarisha misuli…
Botswana yaanza mchakato ya kupiga kura wakati nchi hiyo ikikabiliwa na changamoto za kiuchumi
Botswana itapiga kura siku ya Jumatano katika kura itakayoamua iwapo chama tawala cha Botswana Democratic Party (BDP) kitaongeza muda wake wa kushikilia madaraka kwa miaka 58. Wadadisi wanasema, hata hivyo,…
Mashauzi ampa mdogo wake saloon ya Milioni zaidi ya 50
Mwimbaji wa Taarabu Isha Mashauzi amemzawadia mdogo wake Saloon ya Milioni zaidi ya 50 baada ya mdogo wake huyo kuacha kufanya Muziki wa Taarabu aliokuwa akifanya na kujulikanika kwa jina…
Serikali kuwaanda wataalamu wa ndani utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati
Mkuu wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo amesema Serikali imeendelea kuwajengea uwezo wataalamu wake wa ndani kwa kuwashirikisha kwenye miradi mikubwa kupitia Wizara ya Ujenzi. Mpogolo…
9068 wapangiwa mikopo ya TZS 27.5 Bilioni awamu ya Nne
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu leo (Jumanne, Oktoba 29, 2024) imetangaza Awamu ya Nne (Batch Four) yenye wanafunzi 9,068 wa shahada ya awali (Bachelor Degrees) na…
Miradi 77 inaendelea kutekelezwa na Tanroads nchini
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na utekelezaji wa miradi 77 ya ujenzi wa barabara na madaraja…