Manchester City yamsajili Marmoush kwenye orodha yake ya Ulaya
Manchester City ilitangaza kuwa Mmisri Omar Marmoush alisajiliwa katika orodha yake ya Uropa kwa msimu huu, baada ya kumpa kandarasi wakati wa usajili wa majira ya baridi kutoka Eintracht Frankfurt.…
Mbappe azungumzia pambano lijalo dhidi ya Atletico Madrid
Nyota wa Ufaransa, Killian Mbappe, mshambuliaji wa Real Madrid, amelizungumzia pambano lijalo la Atletico Madrid kwenye Ligi ya Uhispania, ambayo itakuwa mechi ya kwanza kupigana akiwa na jezi ya Merengue…
Saudi Arabia yawanyonga raia 2 waliopatikana na hatia ya kuunga mkono ugaidi
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia ilitangaza Jumatano kwamba raia wawili waliuawa baada ya kupatikana na hatia ya "kulisaliti taifa na kuunga mkono ugaidi." Katika taarifa yake, wizara…
Rodri ajumuishwa kwenye orodha ya Man City katika Ligi ya Mabingwa
Manchester City wamemjumuisha kiungo Rodri ambaye ni majeruhi katika kikosi chao kipya cha Ligi ya Mabingwa kwa awamu ya muondoano huku pia kuna nafasi kwa wachezaji wapya Omar Marmoush, Nico…
Mwenyekiti wa TEFA amteua Alex Luambano wa Clouds
Mwenjekiti mpya wa Chama cha soka Wilaya ya Temeke (TEFA)amemteua Alexander Luambano kuwa Makamu Mwenyezi wake na hii ni kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo February 7,2025,Jijini Dar Es Salaam. Luambano…
Kituo cha kupoza umeme cha uhuru wilayani Urambo kimekamilika
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Uhuru kilichopo Wilaya ya Urambo mkoani Tabora umekamilika. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo…
Israel itakabidhi Gaza kwa Marekani wakati vita na Hamas vitakapomalizika :Trump
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Alhamisi alisema Israel itaikabidhi Ukanda wa Gaza kwa Marekani baada ya vita na Hamas kumalizika na kwamba hakuna wanajeshi wa Marekani watakaohitajika huko.…
Khamenei aionya Serikali ya Iran dhidi ya Mazungumzo na Marekani
Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, siku ya Ijumaa (Feb 7), aliitaka serikali yake kutazama upya mazungumzo na Marekani ikisema kwamba haitatatua matatizo bali kuhatarisha hali ya nchi "Hupaswi…
Bodi yawasimamisha waliobadili jinsia Marekani kushiriki katika michezo ya wanawake
Wasichana na wanawake waliobadili jinsia hawatashindana tena katika hafla za michezo kike na katika hafla nyingi za michezo za vyuo vikuu nchini Marekani hii ni baada ya uamuzi wa baraza…
Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa Afrika Mashariki wa mafuta na gesi (EAPCE’25)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni Rasmi wa mkutano huo. Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano na Maonesho ya 11 ya Petroli ya…