Afanya mazishi ya mkono wake uliokatwa kutokana na saratani
Eldiara Doucette, Mwanamke mwenye umri wa miaka 22 kutoka Marekani, amefanya mazishi ya kipekee kuuaga mkono wake wa kulia alioupoteza baada ya kukatwa kutokana na Saratani ya synovial sarcoma .…
Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kuunga mkono juhudi za serikali
Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuboresha huduma mbalimbali zinazotolewa na Serikali, kwa…
PICHA :CCM Marathon ambayo imefanyika mkoani Dodoma
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara John Mongella ameongoza CCM Marathon ambayo inafanyika Mkoani Dodoma katika kuadhimisha miaka 48 ya CCM Mbio hizi zinafanyika katika Viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre…
Hassan Nasrallah atazikwa tarehe 23 Februari karibu miezi mitano baada ya kuuawa
Kiongozi mkuu wa vuguvugu la Hezbollah la Lebanon alisema Jumapili kwamba mtangulizi wake, Hassan Nasrallah, atazikwa tarehe 23 Februari, karibu miezi mitano baada ya kuuawa katika shambulio la anga la…
Kamati ya kudumu ya baraza la wawakilishi mawasiliano,ardhi na nishati Zanzibar yaipongeza Tasac
Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi, Mawasiliano, Ardhi na Nishati Zanzibar, imelipongeza Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa utendaji kazi madhubuti katika usimamizi wa sheria na kanuni…
Netanyahu kujadili suala tete la kusitisha mapigano Gaza na Trump
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anatarajiwa kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump na ajenda ya kuzingatia vita vilivyositishwa huko Gaza, pamoja na Iran. Viongozi hao wawili wanatarajiwa kukutana…
Man City yamsajili Gonzalez
Manchester City ilimsajili kiungo Nico Gonzalez kutoka Porto katika uhamisho mkubwa zaidi kutoka kwa klabu za Ligi Kuu siku ya Jumatatu, wakati Mathys Tel wa Bayern Munich alielekea Tottenham kwa…
Mamlaka ya Gaza yaomba mahema na makazi ya muda kwa waliorejea nyumbani
Mamlaka za mitaa katika Ukanda wa Gaza zimetoa wito kwa wafadhili na vikundi vya misaada kuweka kipaumbele kutuma mahema na makazi ya muda ili kusaidia makazi ya watu ambao nyumba…
Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wametangaza kusitisha mapigano kwa upande mmoja
Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda ambao waliuteka mji mkubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) walitangaza kusitisha mapigano kwa upande mmoja, wakitaja sababu za kibinadamu, lakini hakukuwa na…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 4, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania February 4, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.