Uhaba mkubwa wa askari waiponza Ukraine
Uhaba mkubwa wa askari na njia za usambazaji zinazokuja chini ya mashambulio ya ndege zisizo na rubani za Urusi zinafanya mbinu kulegeza juhudi dhidi ya vikosi vya Ukraine huko Pokrovsk,…
Picha:Rais Samia akishiriki Maadhimisho ya siku ya Sheria Nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan Katika Matukio tofautitofauti aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini kwa mwaka 2025 yaliyofanyika Viwanja vya Chinangali Mkoani Dodoma…
Trump atangaza kukata ufadhili kwa Afrika Kusini
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema leo asubuhi kwamba anatazamia kuzungumza na Donald Trump baada ya kiongozi huyo wa Marekani kusema kuwa atakata ufadhili kwa Afrika Kusini. "Tunatazamia kushirikiana…
Benjamin Netanyahu awasili Marekani kwa mazungumzo na Donald Trump
Benjamin Netanyahu amesema atajadili "ushindi dhidi ya Hamas", Iran na kupanua uhusiano wa kidiplomasia na nchi za Kiarabu katika mkutano wake na Donald Trump. Mkutano huo utakaofanyika Ikulu ya Marekani…
Watumishi watembelea mradi wa ujenzi wa uwanja wa Arusha
Mradi wa ujenzi wa uwanja wa Arusha umefikia asilimia 23 ambapo ni miezi nane tu tangu kuanza kwa ujenzi huo unaotarajiwa kukamilika katika kipindi cha miaka miwili. Hayo yameelezwa na…
Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Bilioni 68.3
Baraza la Madiwani katika Manispaa ya Geita Mkoani humo limepitisha Bajeti ya Kiasi cha shilingi Bilioni 68. 3 kwa mwaka wa fedha wa 2024/ 2025 kwa ajili ya ujenzi mbalimbali…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania February 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2025
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam February 3, 2025, nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Samia Cup kuanza kutimua vumbi kwa kishindo Kigamboni,timu 32 kushiriki
Mashindano ya mpira wa miguu ya Samia Cup 2025 yanayolenga kuibua vipaji na kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita, yanatarajiwa kuanza rasmi Februari 07, 2025, katika viwanja…
Lugha 15 za kigeni kutoka mwanza kuwapa watanzania faida kimataifa
Kutokana na wahitimu wengi wa elimu ya juu nchini kukosa maarifa ya lugha mbalimbali za kigeni, fursa nyingi za ajira, biashara, na utalii zimekuwa ngumu kwao kuzifikia. Hali hii inawanyima…