Moto huko Johannesburg umewaacha mamia bila makazi
Siku makazi mbalimbali ndani ya jiji la Johannesburg liliingia kwenye masikitiko na hasara kubwa baada ya moto kuteketeza makazi na kuharibu takriban nyumba 1500, kulingana na mamlaka za mitaa. Wakazi…
Tuzo za wachekeshaji, hawa hapa Nominees
Waandaaji wa Tuzo za Wachekeshaji nchini kupitia Bodi ya filamu na Baraza la Sanaa la Taifa BASATA, chini ha wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo wametoa list ya Nominees na…
Jiji la Arusha lafanya tukio kubwa,mitambo ya billion 1.7 yanunuliwa kukarabati barabara zote
Halmashauri ya Jiji la Arusha imefanikiwa kununua mitambo mipya mitatu yenye thamani ya Sh1.7 Bilioni kwa ajili ya ukarabati wa barabara za ndani. Mitambo hiyo iliyozinduliwa leo january 28,2025 na…
Walimu waaswa matumizi ya Tehama mashuleni
Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Iringa Bw. Reginaldo Msendekwa amefungua mafunzo kwa walimu wa sayansi na hisabati na kuwataka washiriki hao kwenda kuyatumia mafunzo hayo kuimarisha taaluma hususani matumizi ya…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 29, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania January 29, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 29, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam January 29, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Roma wanamchunguza Casemiro wa Man Utd kama mbadala wa Paredes
Roma wanavutiwa na kiungo wa kati wa Manchester United Casemiro huku wakitafuta mbadala wa Leandro Paredes, kulingana na Sky nchini Italia. Nia ya klabu hiyo ya Italia kwa kiungo huyo…
Kijana Jumanne Juma achomwa moto kwa madai ya kuiba kiasi cha Shilingi Laki 2
Jumanne Juma mwenye miaka 26 mkazi wa Mtaa wa Diskava, Kimara B, wilaya ya Ubungo DSM, ameuawa na watu aliokuwa akiwafanyia kazi za nyumbani kwa kumchoma na Petrol usiku wa…
Isiwepo bendera yoyote itakayopeperushwa isipokuwa ya Marekani pekee
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imepiga marufuku nyadhifa za kibalozi kupeperusha bendera yoyote isipokuwa ile ya Marekani kama sehemu ya ahadi ya utawala wa Trump ya kukabiliana na…
Jota ajiunga tena na Celtic
Winga wa Ureno Jota Neves amekamilisha rasmi kurejea Celtic, na kusaini mkataba na klabu hiyo ya Glasgow hadi majira ya joto ya 2030. Celtic ililipa Euro milioni 10 kwa Rennes…