KRC Genk ya Samatta imepoteza mechi dakika ya 90 dhidi ya KAA Gent
Usiku wa August 7 2016 Ligi Kuu Ubelgiji iliendelea tena kwa klabu ya KAA Gent kuikaribisha KRC Genk katika uwanja wa GHELAMCO wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000 ili kucheza…
PICHA & VIDEO: Man United wameanza kwa kuwaadhibu Mabingwa ngao ya jamii
Wiki moja kabla ya Ligi Kuu England kuanza huwa ni kawaida kuchezwa mchezo wa ngao ya jamii, mchezo ambao huzikutanisha timu Bingwa wa Ligi Kuu na Bingwa wa Kombe la…
Vitu 3 vya kufahamu kuhusu Manji alipoomba kuikodi Yanga
Kwa sasa headlines zinazotawala katika vichwa vya habari vya mitandao na magazeti ya michezo ya Tanzania ni kuhusiana na bilionea Mohammed Dewji kuomba kuinunua Simba na mfanyabiashara na mwenyekiti wa…
Mashabiki wa Man United pokeeni good news kuhusu Paul Pogba
Headlines za kiungo wa kimataifa wa Ufaransa aliyekuwa anaichezea klabu ya Juventus ya Italia Paul Pogba kuhusishwa kujiunga na Man United, zinaelekea kumalizika kwa kiungo huyo kurudi Man United toka…
FC Barcelona imempa baraka Thomas Vermalen ajiunge na klabu hii ……
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania leo August 7 2016 imetangaza rasmi kutoa ridhaa kwa beki wake wa kati Thomas Vermaelen kwenda kufanya vipimo katka klabu ya AS Roma ya…
Taarifa ya Oscar Pistorius kudaiwa kujaribu kujiua akiwa gerezani
Oscar Pistoriuos mwanariadha wa South Africa ambae alimiliki vichwa vya habari baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa la mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp. August 6…
Zitto na Ommy Dimpoz baada ya kusikia Manji anataka kuikodi Yanga
August 6 2016 Mfanyabiashara na mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji katika mkutano mkuu na wanachama wa Yanga aliomba wanachama wamkodishie timu ya Yanga na nembo ya klabu kwa kipindi cha miaka 10 kwa…
VIDEO: Perfomance ya Oliver Mtukudzi East African Vibes Concert
Mwanamuziki mkongwe wa kimataifa kutoka nchini Zimbabwe Oliver Mtukudzi ambaye aliyetunukiwa tuzo ya tatu iliyobeba heshima ya udaktari kutokana na kuwa mshauri na balozi mzuri wa muziki, August 6 2016…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania leo August 7 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Tundu Lissu asimulia yaliyomkuta rumande, Mwingine akamatwa, ashtakiwa kwa uchochezi
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 07 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=rx_cocxk4Fk ULIKOSA HII YA TUNDU LISSU ALIVYOSINDIKIZWA NA…