Magazeti ya Tanzania August 7, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo
August 7 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Manji alivyowaomba wanachama wamkodishie Yanga na nembo kwa miaka 10
Mfanyabiashara na mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji katika mkutano mkuu na wanachama wa Yanga uliofanyika August 6 katika ukumbi wa Diamond Jubilee ameomba wanachama wamkodishie timu ya Yanga na nembo ya klabu kwa…
AUDIO: Kauli ya Himid Mao ukimuuliza kuhusu habari za kukamatwa na Polisi
Jioni ya August 5 2016 kiungo wa klabu ya Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Himid Mao, zilienea taarifa kuwa amekamatwa na jeshi la polisi na…
VIDEO: Naibu Waziri, Luhaga Mpina aipa DAWASCO siku saba
Siku moja baada ya Naibu waziri katika ofisi ya makamu wa Rais mazingira na muungano, Luhaga Mpina kufika katika bomba kuu la kusafirishia maji taka jijini Dar es salaam ambapo…
Baada ya suluhu na Mtibwa leo August 6, Yanga imetimiza siku 73 bila ya ushindi wowote
August 6 2016 wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika klabu ya Dar es Salaam Young Africans, walishuka katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam…
VIDEO: Oliver Mtukudzi yupo Dar, kayazungumza haya kwa wasanii wa bongo
Mwanamziki mkongwe wa kimataifa kutoka nchini Zimbabwe Oliver Mtukudzi ambaye aliyetunukiwa tuzo ya tatu iliyobeba heshima ya udaktari kutokana na kuwa mshauri na balozi mzuri wa muziki. Mwaka 2003 alitunukiwa…
Baada ya MO kutaka kuinunua Simba SC, Manji kataka akodishiwe Yanga
Bado headlines za wekundu wa Msimbazi Simba kutaka kununuliwa na bilionea wa 21 Afrika Mohammed Dewji zinatawala katika vichwa vya habari, mfanyabiashara na mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji katika mkutano mkuu…
VIDEO: TRA kukagua walipakodi nyumba kwa nyumba, Kafulila asema sasa njia nyeupe
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 06 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=EC8yWGCo7W4 ULIIKOSA HII YA TRA KUZIKUSANYA HIZI BAADA…
Chanzo cha vifo vya watu 13 kwenye Bar Ufaransa
Wakati nchi ya Ufaransa ikiwa kwenye ulinzi mkali kutokana na mashambulizi kadhaa ya kigaidi hivi karibuni ikiwemo mauaji ya mchungaji katika mji mdogo karibu na Rouen. August 6 2016 imeripotiwa kutokea…
AUDIO: Sababu za Himid Mao wa Azam FC kukamatwa na Polisi Dar es Salaam
Jioni ya August 5 2016 kiungo wa klabu ya Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Himid Mao, jina lake lilianza kuwa stori kubwa mitandaoni baada ya…