Bilionea anayetaka kuinunua Simba, ametaja kilichomsikitisha katika mkutano wa Simba
Siku moja baada ya mkutano mkuu wa Simba kufanyika na kukubali kupitisha maadhimio ya mabadiliko ya kiuongozi ili klabu iendeshwe kwa mfumo wa hisa, bilionea wa 21 Afrika ambaye pia…
Baada ya protini kwenye Maziwa ya Mende, watafiti wasema miguu yake pia ni dawa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: JPM agomea ahadi ya JK, Lowassa afunguka uvungu wa moyo wake.
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 01 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=8yfRq39N7bc ULIKOSA HUU MSIMAMO WA LOWASSA KUHUSU MCHAKATO…
VIDEO: Rais Magufuli vs James Lembeli mbele ya Wananchi Shinyanga
Rais Magufuli alipita na Shinyanga kwenye hii ziara yake na kukutana na mbunge wa zamani wa Kahama kupitia CCM ambaye alihamia CHADEMA na kugombea ubunge wa Kahama 2015 James Lembeli.…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo August 1, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
August 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: Samatta kaifungia tena KRC Genk Ligi Kuu Ubelgiji leo July 31
July 31 klabu ya KRC Genk ambayo inachezewa na nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta, bado inajiandaa na mchezo wa pili wa round ya pili wa kuwania kufuzu hatua ya Makundi ya…
VIDEO: Ukweli kuhusu kifo cha marehemu Senga, ndugu kaeleza kilichotokea
July 31 2016 mwili wa marehemu Mwanahabari Joseph Senga umeagwa Dar es salaam kuelekea Mwanza kwa ajili ya maziko, baadhi ya viongozi wa serikali na siasa wameshiriki wakiwemo Waziri wa…
Chelsea sasa wapo radhi kutoa zaidi ya Tsh Bilioni 190 kwa ajili ya Lukaku
Dirisha la usajili la msimu huu kwa vilabu vya soka barani Ulaya linazidi kuvutia zaidi, hii inatokana na vilabu vingi sasa kutaka kuwarudisha katika timu zao wachezaji wao wa zamani…
Pichaz: Waziri Nape, Lowassa, Mbowe walivyoshiriki kuuaga mwili wa marehemu Senga
July 31 2016 mwili wa marehemu Mwanahabari Joseph Senga umeagwa Dar es salaam leo kuelekea Mwanza kwa ajili ya maziko, baadhi ya viongozi wa serikali na siasa wameshiriki wakiwemo Waziri…
AUDIO: Maneno ya Edward Lowassa kuhusu utendaji kazi wa Rais Magufuli
Leo July 31 2016 kupitia kipindi cha funguka kinachorushwa na kituo cha television cha Azam Tv, Waziri mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia CHADEMA, Edward…