Kauli ya CCM baada ya CHADEMA kutaja siku ya maandamano
July 28 2016 Chama cha mapinduzi (CCM) kikiongozwa na msemaji wake Christopher Ole Sendeka kimekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kuzungumzia hatua iliyotangazwa na chama cha demokrasia…
PICHA 10: Papa Francis aanguka wakati akiongoza misa
Kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis ameteleza na kuanguka alipokuwa akielekea kwenye altare kuongoza ibada ya misa nchini Poland. Inaelezwa kuwa alikosea kukanyaga ngazi huku amelikanyaga vazi lake la…
Ujumbe wa Diego Costa wenye dalili kuwa huenda anahama Chelsea
Alfajiri ya July 28 2016 klabu ya Chelsea ilicheza dhidi ya Liverpool katika mchezo wa International Champions Cup na kuibuka na ushindi wa goli 1-0, baada ya mchezo huo mshambuliaji…
TBT: Tazama picha za utoto za Mourinho, Himid Mao, Suarez, Ballack na Fabregas
Imekuwa ni kawaida kwa mastaa na watu mbalimbali kuitumia siku ya alhamisi kama ni siku ya kupost picha zao za zamani (TBT) katika mitandao ya kijamii, alhamisi ya July 28…
Mambo matatu yatakayofanyika katika sherehe za miaka 80 ya Simba SC
Imekuwa ni kawaida kwa klabu ya Simba kila mwaka kufanya Simba Day ambayo kwa miaka ya hivi karibuni imeanza kwa kuboreshwa na kuanza kuwa wiki ya Simba, ambapo kilele chake…
Rais Magufuli atengua uteuzi mwingine leo July 28 2016
Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi iliyotolewa leo July 28 2016 mjini Dodoma imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa…
MSIBA: Mpiga picha wa tukio la Mauaji ya Mwangosi afariki Dunia
Siku moja baada ya mahakama kuu kanda ya Iringa kutoa hukumu ya kwenda jela miaka 15 kwa mshtakiwa wa kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa kituo cha television cha…
PICHA & VIDEO: Binti aliyejifungua akiwa na umri wa miaka 5
Mtu wangu huwenda haijawahi kukufikia juu ya maajabu haya, katika pitapita zangu nikakutana na hili ambalo leo July 28 2016 nakusogezea kama throwback mtu wangu, binti Lina Medina ni raia wa…
Watafiti wadai aina hii ya mende wanatoa Maziwa yenye protini kuliko ya ng’ombe
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: CHADEMA wabadili gia, Safari ya Tizeba Dodoma yaingia doa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 28 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=X4LTNWUiIRo ULIKOSA HII YA CHADEMA BAADA YA KUKAA…