Taarifa ya polisi Dar baada ya kumalizika kwa zoezi la uhakiki wa silaha
Polisi kanda maalum ya Dar es salaam leo July 22 2016 wametoa majumuisho ya zoezi la uhakiki wa silaha mkoa wa Dar es salaam lililofanyika kwa miezi mitatu, zoezi hilo…
VIDEO: Maelezo ya DK 4, ndugu aelezea dakika za mwisho kabla ya Kundambanda hajafariki
Leo July 22 2016 taarifa za kifo cha msanii wa filamu za Comedy Ismail Issa Makombe ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la 'Kundambanda’ zimeanza kuenea, taarifa rasmi kutoka kwa ndugu wa karibu…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo July 22 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Msiba: Tasnia ya Filamu Tanzania imepata msiba, R.I.P Mchekeshaji Kundambanda
July 22 2016 ripoti zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mastaa wa vichekesho nchini zikionyesha taarifa ya kufariki kwa mmoja kati ya wachekeshaji maarufu nchini Tanzania, Ismail Issa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 22, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 22 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Dakika tatu za Stamina akiongelea collabo yake na Vanessa Mdee
Ni muda mrefu kidogo umepita toka rapper Stamina atangaze kuwa na mpango wa kufanya collabo na msanii Vanessa Mdee, baada ya kuona siku zimepita na collabo watu wanaisubiri, Ayo TV imempata Stamina…
VIDEO: Jose Mourinho alivyogoma kusaini jezi ya shabiki wa Chelsea China
Manchester United kwa sasa ipo China kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu na mashindano mbalimbali, kama ilivyo kawaida kwa mashabiki wa soka wanapokutana na wachezaji au…
VIDEO: Joh Makini kaeleza alivyokamilisha ‘Perfect Combo’ na Chidinma
Msanii wa Bongofleva kutoka kundi la Weusi John Makini hivi karibu ameachia video ya wimbo wake mpya wa Perfect Combo aliyomshirikisha msanii wa Nigeria Chidinma, inawezekana ukawa unajiuliza namna ya collabo…
Dalili nyingine ya kuwa Paul Pogba atatua Man United msimu huu
Klabu ya Manchester United inayofundishwa na kocha mreno kwa sasa Jose Mourinho imerudi kwenye headlines baada ya July 21 kutoa namba za jezi watakazovaa wachezaji wake kwa msimu wa 2016/2017,…
Samatta kaisaidia KRC Genk kutinga round ya pili ya Europa League
Mtanzania Mbwana Samatta bado anaendelea kufanya vizuri na kuzidi kuaminiwa na kocha wake Peter Maes ambaye kwa sasa amekuwa akimpa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza na kucheza dakika zote…