VIDEO: Jose Mourinho kaeleza kwa nini kamuacha Zlatan Pre-Season tour
Mashabiki wa Manchester United huenda wakawa wameshangazwa na maamuzi ya Jose Mourinho ya kumuacha mshambuliaji wake mpya wa kimataifa wa Sweden aliyekuwa anaichezea Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic…
VIDEO: CUF wapania kwenda mahakama ya ICC
Leo July 21 2016 Naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF, Nassor Mazrui amekutana na waandishi wa habari ambapo aliulizwa mchakato wa kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa ya…
PICHA 8: Jionee Hoteli inayoelea juu ya maji iliyozinduliwa Paris
Paris ni mji maarufu duniani ukiwa na vivutio mbalimbali na umeshika nafasi za juu katika ya miji inayovutia zaidi Duniani, katika mji wa Paris kwenye mto Seine imezinduliwa hoteli inayoelewa…
VIDEO: CHADEMA wamefungua kesi mahakama ya Afrika Mashariki dhidi ya Serikali
Baada ya Jeshi la polisi kupiga marufuku mikutano hadhara na maandamano ya kisiasa, leo July 21 2016 Chama cha demokrasia na maendeleo 'CHADEMA' kimefungua kesi katika mahakama ya Afrika Mashariki dhidi…
VIDEO: Bunge la Afrika Mashariki limekutana leo kwa dharura
Leo July 21 2016 Bunge la Afrika mashariki limekaa kikao cha dharura na kuitaka nchi ya burundi kumalizia mgogoro wa kisiasa uliopo hii ni baada ya kuuawa kwa risasi kwa…
VIDEO: ‘Wako waliodhani CCM ingekufa na walishajiandaa’-Kikwete
Leo July 21 2016 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi 'CCM', Dk Jakaya Mrisho Kikwete amefungua kikao cha kamati kuu mjini Dodoma ambacho ajenda yake kubwa ni ya kumpendekeza Rais Dk.…
Sahau kuhusu Klavan Liverpool wamesajili staa mpya kwa zaidi ya Tsh bilioni 70
Bado siku zinahesabika kuelekea kuanza kwa Ligi Kuu England kwa msimu wa 2016/2017, vilabu karibia vyote vinapigana vikumbo kuwania saini za mastaa wapya katika vikosi vyao, klabu ya Liverpool leo…
Maalim Seif kutinga Mahakama ya ICC leo au kesho
Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amekuwa na ziara nje ya nchi tangu baada ya uchaguzi mkuu wa marudio Zanzibar March 2016 kuisha, Maalim Seif…
Jamii moja nchini Malawi Jamaa analipwa ili kuwatoa mabinti wa kike usichana
Habari hii imeripotiwa na BBC Swahili kuhusu jamii moja nchini Malawi ambayo haithamini ubikira wa watoto wao wa kike. BBC Swahili wameripoti kuwa katika jamii hiyo wazazi wanamlipa mwanaume kumbikiri binti yao…
AUDIO: ‘Sidhani kama kuna mtu hata mmoja atasalimika kwenda jela’- Waziri Mwakyembe
July 21 2016 Waziri wa katiba na sheria, Dk. Harrison Mwakyembe alikuwa akihojiwa katika kipindi cha Clouds 360 cha clouds TV na kujibu maswali mbalimbali yanayohusu katiba na sheria na hili sakata…