Serikali ya Tanzania imepewa hizi tuzo mbili kutoka AU
July 20 2016 Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi, Augustine Mahiga, amezungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo yaliyojadiliwa katika mkutano wa 27 wa Umoja…
Jurgen Klopp kasajili nyota mpya Liverpool
Klabu ya Liverpool leo July 20 2016 imetangaza kukamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Estonia Ragnar Klavan, Liverpool imekamilisha usajili wa Ragnar Klavan mwenye umri wa miaka 30 kutokea klabu ya…
Mpango wa Rebeca Gyumi baada ya kushinda kesi ya kupinga ndoa za utotoni
Mwanzoni mwa mwaka 2016 Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali, Msichana Initiative linalotetea haki za wasichana kupata elimu, Rebeca Gyumi kupitia kwa wakili Jebra Kambole wa Law Guards Advocates, walipinga…
Mbeya City imetangaza moja kati ya wachezaji itakaoendelea kuwa nao
Klabu ya Mbeya City ambayo makao makuu yake ni jijini Mbeya bado inaendelea kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, Mbeya City ambayo…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania leo july 20 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Siri ya kusimamishwa Vigogo NSSF, Bodi yanawa mikono kwa Dk Dau
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 20 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=vMDb3sCL-lQ ULIKOSA SABABU ZA WANAFUNZI WA VYUO KUTOPATA…
Orodha ya wanachuo wanaorudi kusoma stashahada maalum ya ualimu UDOM
Majina ya wanachuo waliokuwa wanasoma stashahada maalum ya ualimu chuo kikuu cha Dodoma waliopangiwa kurudi kwenye chuo hicho.
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 20, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Usitarajie kumuona Demba Ba akistaafu soka mapema sababu ya kuvunjika
Bado headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal anayeichezea klabu ya Shanghai Shenhua ya China Demba Ba zinaendelea kuchukua nafasi, Demba Ba ambaye ana umri wa miaka 31 alitarajiwa na…
Mourinho kataja TOP 3 ya wachezaji wake bora wa muda wote na kumpotezea Ronaldo
Kocha mpya wa Man United Jose Mourinho ameingia tena kwenye headlies baada ya kutoa kauli ambayo imesambaa katika mitandao ya jamii, Mourinho katika mahojiano na Daily Express ametaja majina ya…