VIDEO: Kauli ya Dupy baada ya kusikia legend Master Jay anamkubali
Mtu wangu wa nguvu kama utakuwa unakumbuka vizuri Ayo TV iliwahi kufanya exclusive interview na legend producer Master Jay na kuzungumzia mambo mengi ikiwemo maproducer anaowakubali, katika Maproducer anaowakubali Master…
VIDEO: Wanafunzi zaidi 7000 waliosimamishwa UDOM, 382 kurejeshwa chuoni hapo
Baada ya May 28 2016 Serikali kuwarejesha nyumbani wanafunzi 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Sayansi na Hisabati Chuo Kikuu Dodoma. Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na mgomo wa…
VIDEO: Mawili ya mtaalam wa saikolojia Chris Mauki kuhusu ushoga
Moja ya stori iliyochukua headline hivi karibuni ni pamoja na tamko la Serikali lililoanzishwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kupiga marufuku vitendo vya watu wanaoshiriki…
List ya mechi atakazozikosa Cristiano Ronaldo wakati anaendelea kujiuguza
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo bado anaendelea na matibabu ya kutibu jeraha lake la goti alilolipata dakika ya 23 katika mchezo wa fainali…
VIDEO: Sababu ya wanafunzi elimu ya juu kutopata fedha za ‘field’ mpaka sasa
Hivi karibuni kamati ya mawaziri wa mikopo ya serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu nchini Tanzania inayoundwa na mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya mikopo kutoka vyuo vyote…
Chelsea wamekataa zaidi ya Tsh bilioni 140 ili wamuachie Diego Costa
Baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Hispania ambaye anaichezea Chelsea ya England Diego Costa kuitumikia klabu hiyo kwa misimu miwili, tayari klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid ya Hispania…
CONFIRMED: Ratiba rasmi ya Ligi Kuu soka Tanzania bara 2015/2016
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF leo July 19 2016 limetangaza kutoa rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017, TFF wametangaza kutoa ratiba hiyo ikiwa…
VIDEO: Maneno anayodaiwa kuyacopy mke wa Trump kutoka kwenye hotuba ya mke wa Obama
Habari inayotrend kwa sasa kwenye vyombo mbalimbali vya kimataifa ni hii ya mke wa Donald Trump kudaiwa kuchukua maneno ya hotuba ya mke wa Rais wa Barack Obama, hotuba hiyo ya…
Maamuzi ya Serikali kuhusu wanachuo zaidi ya 7000 waliosimamishwa masomo UDOM
May 28 2016 Serikali iliwarejesha nyumbani wanafunzi 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Sayansi na Hisabati Chuo Kikuu Dodoma. Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na mgomo wa walimu uliokuwa…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania leo July 19 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…