VIDEO: JPM ‘awapa nchi’ askari wa JWTZ, Sinema mpya panga, pangua ma-DC
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 03 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=khNJsb3t9Pg ULIKOSA UFAFANUZI WA TRA KUHUSU 18% VAT…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo Julay 3, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Julay 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Italia wametolewa na Ujerumani, licha ya kuwa na rekodi imara
Robo fainali ya tatu ya michuano ya mataifa ya Ulaya 2016 imechezwa usiku wa July 2 2016 kwa kuzikutanisha timu za taifa za Ujerumani dhidi ya timu ya taifa ya…
Vitu vitatu vilivyopigwa marufuku na RC Paul Makonda….(VIDEO)
Ni July 2, 2016 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku vitu vitatu kutoonekana katika mkoa wa Dar es Salaam. Akizungumza kwenye kongamano la Dini…
AUDIO: Kauli ya Jerry Muro baada ya kuishinda TFF katika kamati ya maadili
July 1 2016 taarifa za mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Jerry Muro kuitwa na kamati ya maadili kujieleza kutokana na kauli zake, iliingia kwenye…
Maamuzi ya kamati ya maadili kuhusu Jerry Muro wa Yanga
July 1 2016 taarifa za mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Jerry Muro kuitwa na kamati ya maadili kujieleza kutokana na kauli zake, iliingia kwenye…
VIDEO: Nyumba atakayoishi Rais Obama baada ya kuondoka White House January 2017
Nafahamu mtu wangu wa nguvu unatamani kujua mengi zaidi kuhusu Rais wa Marekani Barack Obama maisha yake baada ya kuondoka Ikulu (White House) au madarakani, July 2 2016 CCN wameonesha…
VIDEO: Big News ikufikie kutoka Vodacom
Good news ni kwamba nimempata mtu wangu wa nguvu ambaye nimekuwa nikimtafuta kwa muda mrefu sasa. Pamoja tutafika nae mbali sana na leo nafuraha kukujulisha kuwa Vodacom Tanzania ndio mtu…
VIDEO: Sababu za Ruby kutoonekana kwenye video ya ‘SU’ na Yamoto Band
Yamoto band ni kundi la muziki wa bongo fleva lenye mashabiki wengi kutokana na nyimbo zao nzuri. Lakini pia mwanadada Ruby ni mmoja kati ya wasanii wa kike wanaofanya vizuri katika game…
Vitu vitatu vilivyopigwa marufuku na RC Paul Makonda kwenye mkoa wa Dar..
Ni July 2, 2016 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku vitu vitatu kutoonekana katika mkoa wa Dar es Salaam. Akizungumza kwenye kongamano la Dini…