VIDEO: Magoli ya Ubelgiji yalioipeleka robo fainali ya Euro 2016
Kama ni mpenda soka mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze yaliojiri katika mechi tatu za Euro 2016, hatua ya 16 bora ya michuano ya Euro 2016 ambayo bado inaendelea, tayari…
Yanga vs TP Mazembe June 28 2016, kiingilio ni bure
Jumamosi ya June 25 2016 mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Jerry Muro alitangaza viingilio vya mechi yao ya Kombe la…
Rais Magufuli kateua wakuu wa wilaya 139, mabadiliko madogo kwa wakuu wa mikoa
Taarifa kutoka Ikulu ya Tanzania leo June 26 inasema Rais John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko kwenye nafasi za wakuu wa Mikoa pamoja na wakuu wa Wilaya,kwenye mabadiiko hayo amewateua jumla…
VIDEO: ‘Kuwatoza bodaboda elfu 95 ni kinyume na tulichowaahidi’ -Hussein Bashe
Wakati bunge likiwa limepitisha jumla ya shilingi trilion 29.5 kama bajeti kuu kwa mwaka wa fedha 2016/2017 huku ikitangaza baadhi ya vipaumbele vya kukusanya mapato. Mbunge wa Nzega mjini Hussein…
VIDEO: Mbunge Jumaa Aweso hajalikalia kimya tatizo la maji Pangani
Wakati siku chache zikiwa zimesalia kumalizika kwa vikao vya bunge la 11, wabunge wameendelea kusimama bungeni kuwasilisha mahitaji ya wananchi wao majimboni. Nakukutanisha na mbunge wa Pangani Tanga Jumaa Aweso…
VIDEO: kipimo cha DNA kina baba wafurika, Magufuli ampa IGP kazi nzito
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 26 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=lsDxS0mjJnI ULIKOSA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE…
Habari 10 kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania June 26 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 26, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: USA bado ni wachovu kwa Colombia, wamefungwa kwa mara ya 14
Michuano ya Copa America kwa mwaka 2016 ndio inaelekea ukingoni, sasa umebaki mchezo wa fainali pekee kuhitimisha michuano hiyo, ambayo kwa mwaka 2016 imefanyika maalum kusherekea miaka 100 ya mashindano…
VideoMPYA: Burger Movie Selfie Remix ya Belle 9 imeachiwa
Msanii wa Bongofleva Belle 9 ameachia rasmi remix ya video ya hit single yake ya Burger Movie Selfie aliyowashirikisha Izzo Bizness, Jux, G Nako, Mr Blue, Maua Sama. Mtu wangu wa…